Teaches
Availability
Mimi ni mzawa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni mbobezi katika lugha ya Kiswahili, ni mzawa wa lugha hii pia nimejifunza hadi kufikia ngazi ya chuo kikuu ambapo nimejikita kama mbobezi wa Shahada ya Awali ya Kiswahili katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Hivyo nimepaza kukuza uwezo na umahiri katika kufindisha lugha ya Kiswahili kwa Wageni na hata wenyeji wa Tanzania na Afrika kwa Ujumla. Pia, ninaujuzi wa kufanya kazi za kutafsiri, kukalimani na hata kuhakiki na kuandika kazi za kitaaluma na zisizo za kitaaluma
Njia rahisi ya kujifunza Kiswahili kwa Dar es Salaam ni kupitia mazungumzo na wazawa
Muda wowote ule
Tutor available
for
1
more
student
only!
Tutor available for online lessons or in-person private lessons in the following areas:
Online or offline at anytime
If the selected tutor is not available, feel free to contact more tutors: